Tammy amesema label hiyo ilifanya naye mazungumzo tangu December 2015 juu ya uwezekano wa kumsaini kwenye label yao kwani ana vigezo wanavyohitaji kutoka kwa msanii ili waweze kumsaini kwenye label yao.
‘Nilikuwa Nigeria December mwaka jana, nikakutana na label ya ‘We The Best Music’ nikakaa nao na wakasema wamependa muziki wangu, style yangu na mwisho wa siku wakaniambia kuna kitu tumeona kwako, na tunahitaji mtu kama wewe na tulikuwa tunamtafuta mtu kama wewe’ –Tammy
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment