Wizkid kupitia account yake ya instagram ameamua kuwaeleza washabiki wake kuhusu ushauri aliyopewa na daktari wake, baada ya kufanya show nyingi bila kupata muda wa kutosha kupumzika, Wizkid ameandika maneno 118 kuomba radhi mashabiki wake baada ya kuamua kupumzika kufanya show.
“Team Wizkid nimekuwa nikisafiri mfululizo kwa kipindi cha miaka miwili kufanya kitu ninachokipenda bila kupumzika, nachukia uamuzi huu lakini daktari wangu ameniambia niahirishe show zangu za mwaka huu na mwezi January 2017 ili nipumzike”
“Naomba radhi mashabiki wangu wote duniani hususani wa Nigeria na Uganda, nawaahidi kurudi nikiwa vizuri na nikiwa na afya njema, nawaahidi kuwaletea muziki mzuri kabla ya mwaka huu kuisha, niwatakie sikukuu njema ya Christimas na mwaka mpya”
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment