Waziri wa wizara hiyo, Ummy Mwalimu alisema hayo juzi wakati wa ufunguzi wa kituo cha redio cha Voice Of Africa wilayani Korogwe.
Alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa kituo hicho aliyetaka kujua Serikali itadhibiti vipi tatizo la watumishi na hasa wa wizara hiyo wanaokiuka maadili kwa kuchezea simu muda wa kazi.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment