Feb 7, 2017

Kauli Walizotoa Viongozi Kumi Kuhusu Vita Dhidi ya Madawa ya Kulevya

“Katika vita hii ya madawa ya kulevya, hakuna cha mtu aliye maarufu, hakuna mwanasiasa, hakuna askari, hakuna waziri au mtoto wa fulani ambaye akijihusishwa aachwe. Hata kama angekuwa mke wangu Janeth, akijihusisha shika.”

Paul Makonda (Mkuu wa Mkoa, Dar es salaam

“Haya mapambano si ya mtu mmoja na kelele nyingine mnazozisikia zinatupa hamasa tuendelee kufanya kazi. Tunachotafuta sisi ni majibu, tukifika mbinguni tumweleze Mungu kwamba dhamana uliyotupa tuliitendea haki.”

Nape Nnauye (Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo)

“Ni muhimu kulinda haki ya mtuhumiwa. Jambo lenye mjadala ni busara inayotumika kushughulika na wahusika ili kusaidia vyombo vyengine kuwataja wanaosambaza. Tusiwahukumu kwa tuhuma maana wasanii kujenga ‘brand’ (jina) ni kazi kubwa ila kubomoa jina ni sekunde tu. Ni vizuri tukaangalia, tufanye katika namna ya kumlinda mtuhumiwa ili hata kama hahusiki jina lake lisiporomoke.”

Kamishna Simon Siro (Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es salaam)

“Hata hao wanaosema wana ‘brand’ kubwa wamejitahidi kutoa ushirikiano na wako waliokamatwa na vielelezo, wengine wamekiri kutumia na wametusaidia sana kwenda kuwakamata wanaouza. Nimejitahidi mwenyewe kuwahoji mmoja mmoja, niliona kuwapa wapelelezi wawahoji wanaweza wasitende haki…mimi ni kachero mzoefu.”

Esther Bulaya (Mbunge wa Bunda Mjini)

“Namshauri mdogo wangu Makonda, hao anaowakamata na kuwaweka ndani ni watu wadogo sana, badala yake awakamate mapapa ambao ndio wanaoingiza dawa hizo. Makonda akamuone mama Leila kule gerezani, akamueleze dawa zinavyoingizwa nhini kwa sababu hao anaowakamata ni wale wanaotakiwa kuwa Mwananyamala au Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu.”

Goodluck Mlingwa (Mbunge wa Ulanga)

“Wafanyabiashara wa madawa ya kulevya hamna asiye wajua, tuna wajua. Humu ndani wapo, nje ya Bunge wapo.”

Joseph Msukuma (Mbunge wa Geita Vijijini)

“Kwa nini vyombo vya dola visimchunguze Makonda maana anasafiri sana Ulaya na Dubai, hivi anasafiri kwa mshahara upi alionao? Kama Rais Magufuli amesema kama mkewe Mama Janeth anahusika na dawa za kulevya akamatwe, kwanini Makonda naye asihojiwe kwa sababu amewapangishia watu nyumba wakati wanajihusisha na dawa za kulevya?”

Halima Mdee (Mbunge wa Kawe)

“Hapa tusitafute ‘headline’ kwenye vyombo vya habari, lazima tuwe na ‘political will’ (utayari wa pamoja wa kisiasa), tuache usanii. Kama mheshimiwa Rais hawajakwambia, basi ujue kwenye kampeni zako ulichangiwa na hao wauza dawa za kulevya. Nchini sasa tuna njaa, kwahiyo mnachotaka kufanya ni kubadili akili za Watanzania kwa hizi mbwembwe zenu. Mnasema Wema Sepetu anahusika na dawa za kulevya wakati alizunguka na Makamu wa Rais kwenye kampeni  kwa miezi yote mitatu.”

Hussein Bashe (Mbunge wa Nzega Mjini)

“Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete alisema anayo orodha ya wafanya biashara wa dawa za kulevya. Kwakuwa alisema anayo, namuomba Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amfuate Kikwete pale kijijini kwake Msoga ampe hiyo orodha ili waungane na kasi ya Makonda ya kupambana na dawa hizo. ”

Zitto Kabwe (Mbunge wa Kigoma Mjini)

“Ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake, leo Rais ametamka kuwa vita ile sio ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam peke yake bali ni vita ya wote. Vita ya wote kuendeshwa na Mkuu wa Mkoa mmoja ni jambo la kushangaza kidogo, lakini halina ubaya kwani lazima awepo wa kubutua kombolela.”


Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger