Aug 15, 2016

Kwanini Siku ya Jumatatu Huitwa "BLUE MONDAY"?


Mara kadhaa nadhani utakuwa umewahi kusikia mtu anakuuliza ya kwamba blue monday kwa upande wako ikoje? Bila hata kujua kuwa blue monday humanisha nini mara kadhaa umekuwa ukijibu ya kwamba blue monday yako ipo poa. Ila kimisingi hauna haja ya kujibu hivyo endapo haufahamu maana yake . Basi kaa sawa ili nikuleze kwa kina maana ya hii siku.

Blue monday hutengenezwa kuanzia siku ya ijumaa, jumamosi na jumapili. Siku hizi tatu huitwa ‘weekend’ kwa kimombo kwa maana ya kwamba wiki imeisha. Siku hizi huitwa ni siku ya matumizi ya pesa na kula bata, Hata hivyo siku hizi za tatu huitwa ni siku za matumizi zaidi kuliko kuuingiza pesa.

Hapa ndipo lile somo la nidhamu ya pesa hupita kushoto kwa kila baadhi yetu. Unajua ni kwanini siku hizi tatu hutengeneza "blue Monday" hii ni kwasabau ya hapa huwa hakuna matumizi sahihi ya kifedha. Hapa ndipo panatufanya ya kwamba tusijue ni yapi ni matumizi ya lazima na yapi ni si matumizi ya lazima kwa kila fedha ambayo tunaitumia.

Bila kumung'unya maneno "blue Monday" ni siku ya kuwa na mawazo, mawazo hayo mtu hujihoji hasa ikifika siku hiyo ya jumatatu maana hujikuta pesa nyingi zimetumika kuliko kuingiza. Hapa ndipo utapogundua siku hii watu wengi hujikuta wana hasira sana kwanini pesa nyingi hutumika nje ya malengo. Siku hii ndipo watu hutengeneza mawazo sana. Kama unajaribu kubisha jaribu kufanya uchunguzi kwa watu mbalimbali hapo ndipo utajua ukweli juu ya jambo hili.

Hivyo jambo la msingi ili kuibadili blue Monday ili kuwa ni siku njema kwako huna budi kufanya yafutayo;

Mosi ni kwamba panga malengo yako katika mtiririko ambao unaeleweka, mtiririko huo uwe katika mfumo wa kujua ni masaa yapi ni uzalishaji Mali, pia ni masaa mangapi ni maalumu kwa ajili ya kupumzika.

Kwani maisha ya binadamu yanaendeshwa kwa asilimia kubwa kwa ratiba ambayo mtu huenda akawa amejipangia au kupangiwa katika kufanya jambo fulani. Hata hivyo tukumbuke ya kwamba matumizi sahihi ya muda ni chachu ya kupata kile ambacho unachokihitaji. Jambo la msingi la kujiuliza ni kwamba unatumia vipi muda wako.

Pili jambo la kuzingatia ili kuamka siku hii ya blue Monday ukiwa hauna mawazo sana. Unatakiwa kuwa na bajeti yako ambayo itakusaidia kukuongoza kwa namna moja ama nyingine. Bajeti hii ndiyo ambayo itakupa mwongozo na mstakabadhi wa matumizi yako ya fedha.

Bajeti ya Matumizi hayo itakuonyesha kabisa ni asilimia ngapi ya fedha inatakiwa itumike katika siku hizo za mapumziko, ili kuepuka na mawazo yasiyokuwa na lazima. Ifanye siku yoyote katika katika wiki iwe ni siku ambayo ina manufaa kwako na wengne.

Pia nikusihii sana ewe mdau na msomaji wa makala haya ni kwamba unatikiwa kufanya vitu vyako kwa malengo, malengo hayo ndio yatakayokufanya uweze kuona nuru ya maisha yako ni wapi ni wapi ambapo unaelekea?


Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger