Ajali hiyo ya ndege imesababisha vifo vya watu 76 kati ya 81 waliokuwemo ndani ya ndege hiyo huku watu 72 wakitajwa kuwa ni msafara wa timu hiyo, mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina ambaye pia anatokea bara la America Kusini Lionel Messi ameguswa na msiba huo.
Kupitia mtandao wa fcbarca.me umeripoti kuwa Lionel Messi ameamua kutoa euro milioni 5.3 ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 12.2 kwa timu ya Chapecoensea na familia za wachezaji wa timu hiyo, Lionel Messi anaungana na staa mwenzake Cristiano Ronaldo ambaye ametoa zaidi ya Tsh bilioni 6.9.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment