Amedai kuwa Dangote anataka apewe gesi ya bure lakini hawatatoa kwa kuwa hiyo itakuwa ni upendeleo na makampuni mengine hayatachezewa fair.
Amesa makampuni yote yanapaswa kutumia makaa ya mawe hapa nchini ili kuwe na usawa kwa kila mtu kwa kuwa soko moja
Ikumbukwe:
Jana mwijage aliongea kwa confidence kabisa kuwa hakuna tatizo kati ya serikali na Dangote na akalaani tabia ya watanzania kuzusha mambo ili kuogopesha wengine
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Mvinyo mpya,kikombe kilekile....
ReplyDelete